Tamasha la 19 la Kimataifa la Katuni la China lafanyika mjini Hangzhou

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 21, 2023
Tamasha la 19 la Kimataifa la Katuni la China lafanyika mjini Hangzhou
Nembo ya Tamasha la 19 la Kimataifa la Katuni la China ikionekana huko Hangzhou, Mji Mkuu wa Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China, Juni 20, 2023. Tamasha hilo limenza jana Juni 20 na litaendelea hadi Juni 24. (Xinhua/Jiang Han)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha