

Lugha Nyingine
Wanakijiji walioathiriwa na mafuriko warudi nyumbani katika Mji wa Tianjin, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 18, 2023
Jumla ya watu 15,011, kundi la mwisho la wale ambao hapo awali walihamishwa kutoka maeneo hatari kwa mafuriko kando ya Mto Yongding wamerejea majumbani mwao kwenye vijiji 14 vya Wilaya ya Wuqing katika Mji wa Tianjin, China siku ya Alhamisi. Kwa sasa, utoaji wa umeme, maji, na gesi umerejeshwa katika vijiji hivyo, na tathmini na ukarabati wa vifaa vilivyoharibiwa unaendelea katika maeneo husika.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma