Muhula mpya wa masomo kwa shule za msingi na sekondari waanza Urumqi katika Mkoa wa Xinjiang, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 29, 2023
Muhula mpya wa masomo kwa shule za msingi na sekondari waanza Urumqi katika Mkoa wa Xinjiang, China
Wanafunzi wa darasa la kwanza wakisoma darasani katika Shule ya Msingi Nambari 76 huko Urumqi, Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wauygur wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China Agosti 28, 2023. Muhula mpya wa masomo umeana katika shule za msingi na sekondari huko Urumqi wa Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wauygur wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China umeanza Jumatatu. (Xinhua/Wang Fei)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha