

Lugha Nyingine
Kituo cha Data za Kidijitali za Delta nchini Botswana kinachojengwa na Kampuni ya China kukabidhiwa Oktoba
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 22, 2023
![]() |
Picha hii iliyopigwa Septemba 11, 2023 ikionyesha mandhari ya sehemu nyeupe kwenye Kituo cha Data za Kidijitali za Delta huko Gaborone, Botswana. (Xinhua/Li Yahui) |
Mradi wa Kituo cha Data za Kidijitali za Delta (DDDC) uko katika Kituo cha Uvumbuzi cha Botswana huko Gaborone. Ukiwa umejengwa na Kampuni ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Uchumi na Ufundi ya Jiangxi China, Tawi la Botswana, mradi huo unajumuisha jengo la kituo cha data lenye ghorofa mbili na vifaa vya ziada. Mradi huo unatarajiwa kukabidhiwa kwa Shirika la Mkongo wa Intaneti la Botswana (BoFiNet) Oktoba 2023.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma