

Lugha Nyingine
Watu wakusanya barafu kutoka Mto Songhua huko Harbin, Kaskazini Mashariki mwa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 08, 2023
![]() |
Wafanyakazi wakikusanya barafu kutoka Mto Songhua mjini Harbin, Mkoa wa Heilongjiang, Kaskazini Mashariki mwa China Desemba 7, 2023. |
Michemiraba ya barafu iliyokusanywa kutoka mto huo ulioganda itatumika kwa ajili ya kupamba mji huo. (Xinhua/Zhang Tao)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma