

Lugha Nyingine
Uvunaji wa mboga mboga katika Mkoa wa Yunnan, Kusini Magharibi mwa China (6)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 19, 2023
![]() |
Wanakijiji wakichuma nyanya katika kituo cha biashara ya mboga mboga katika Wilaya ya Yuanmou, Mkoa wa Yunnan, Kusini-Magharibi mwa China, Desemba 17, 2023. (Picha na Liang Zhiqiang/Xinhua) |
Wakulima na kampuni zinazojihusisha na biashara ya mboga mboga katika Mkoa wa Yunnan, wako katika pilika pilika nyingi za kuvuna mazao ya mboga mboga ili kuyasambaza katika masoko mbalimbali. Mkoa huo wa Yunnan ni kituo muhimu cha kukuza na kusafirisha mboga mboga wakati wa majira ya baridi nchini China.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma