

Lugha Nyingine
Mila na Desturi mbalimbali za mwaka mpya wa jadi wa China zaonekana kwenye mitaa mikongwe ya Quanzhou (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 25, 2024
Mji mkongwe wa Quanzhou ulioko Mkoa wa Fujian, China unamiliki mabaki mengi ya kitamaduni na majengo mengi ya kale yenye thamani kubwa yanayohifadhiwa na kulindwa. Wakazi huko pia wana mila na desturi nyingi za mwaka mpya wa jadi wa China. (Picha na Huang Dongyi/People’s Daily Online)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma