

Lugha Nyingine
Sikukuu ya Sanyuesan yasherehekewa huko Guangxi, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 12, 2024
Watu wa kabila la Wazhuang husherehekea sikukuu ya Sanyuesan katika siku ya tatu ya mwezi wa tatu kwa kalenda ya jadi ya kilimo ya China kwa kuvaa mavazi ya kijadi na kufanya burudani za kijadi. Mwaka huu sikukuu hiyo ya Sanyuesan imesherehekewa Aprili 11.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma