"Ligi Kuu ya Kijiji" ya China yakaribisha timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kigeni wanaosoma China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 15, 2024
Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kigeni wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Guizhou wakiwa katika maandalizi ya awali kabla ya kuanza kwa mechi ya kirafiki ya mpira wa miguu katika Wilaya ya Rongjiang, Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China, Aprili 13, 2024. (Xinhua/Tao Liang)

RONGJIANG - Mechi ya soka ya kuvutia macho imefanyika kwenye "Ligi Kuu ya Kijiji" ya China katika Wilaya ya Rongjiang siku ya Jumamosi jioni ambapo Timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kigeni kutoka Chuo Kikuu cha Guizhou imecheza dhidi ya timu ya Tambi za Wali ya Jiangxi kutoka Mji wa Shangrao.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha