

Lugha Nyingine
Ufufuaji wa maeneo ya mijini waleta uhai mpya katika Mji wa Chongqing, China (7)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 18, 2024
![]() |
Watalii wakitembelea Eneo la Utamaduni na Ubunifu la Ofisi ya Yangpao 1862 katika Wilaya ya Jiangbei ya Mji wa Chongqing, Kusini-Magharibi mwa China, Julai 15, 2024. (Xinhua/Wang Quanchao) |
Kupitia juhudi za ufufuaji wa miji katika miaka ya hivi karibuni, mitaa, vitongoji na maeneo mengi ya viwanda ya zamani katika Wilaya ya Jiangbei ya Mji wa Chongqing, Kusini-Magharibi mwa China yamewekwa mipango ya kisanii na kibiashara. Ukarabati huo wenye uvumbuzi na uboreshaji unaleta fursa zaidi za biashara ili kutumia kikamilifu uwezo wa maeneo husika, na kuvutia vijana kupata uzoefu, na kuingiza nguvu na hamasa zaidi katika maeneo hayo.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma