

Lugha Nyingine
Daraja Kuu la Tianmen linalojengwa huko Guizhou nchini China (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 19, 2024
![]() |
Mfanyakazi akifanya kazi katika eneo la ujenzi wa daraja kuu la Tianmen Mkoa wa Guizhou, kusini-magharibi mwa China, Julai 17, 2024. Daraja hilo kuu lenye urefu wa mita 1,553 ni mradi mkubwa kwenye barabara kuu inayounganisha miji ya Anshun na Panzhou huko Guizhou. (Xinhua/Tao Liang) |
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma