

Lugha Nyingine
Mavuno Mazuri ya mpunga huko Hongya, Mkoa wa Sichuan, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 27, 2024
Siku hizi, eneo la kielelezo la Ghala la nafaka la Tianfu" lenye ukubwa wa takriban hekta 666.67 la Anning lililoko katika mji mdogo wa Zhige, Wilaya ya Hongya, Mji wa Meishan, Sichuan, limepata mavuno mazuri ya mpunga, na wanakijiji wamevuna mpunga katika wakati huo.
Katika miaka ya hivi karibuni, Wilaya ya Hongya imehimiza ujenzi wa mashamba ya kiwango cha juu, na kugeuza mashamba madogo ya awali yaliyotawanyika kuwa mashamba makubwa yanayopakana. Mwaka 2024, eneo la upandaji mpunga katika wilaya hiyo limekuwa takriban hekta 9,600.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma