

Lugha Nyingine
Mawimbi ya Baridi Kali Yaikumba China, Maeneo Mengi Yashuhudia Kuanguka kwa Theluji
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 26, 2024
![]() |
Picha hii ya droni iliyopigwa Novemba 25, ikionyesha Ukuta Mkuu baada ya theluji kuanguka katika Mji wa Zunhua, Mkoani Hebei, China. (Picha na Liu Mancang/ Xinhua) |
Kutokana na athari za mawimbi ya baridi kali, maeneo mengi ya Kaskazini Magharibi, Kaskazini, na Kaskazini Mashariki mwa China yameshuhudia kuanguka kwa theluji.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma