Mkutano wa Washirika wa Panda Duniani Mwaka 2024 wafunguliwa mjini Chengdu, China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 27, 2024
Mkutano wa Washirika wa Panda Duniani Mwaka 2024 wafunguliwa mjini Chengdu, China
Wageni wakitazama midoli ya panda kwenye Mkutano wa Washiriki wa Panda Duniani Mwaka 2024 mjini Chengdu, Mkoani Sichuan, Kusini Magharibi mwa China, Novemba 26, 2024. (Xinhua/Shen Bohan)

Mkutano wa Washirika wa Panda Duniani Mwaka 2024 umefunguliwa mjini Chengdu, Mkoani Sichuan, Kusini Magharibi mwa China, siku ya Jumanne Novemba 26, 2024 ukiwa na kaulimbiu ya "Kuishi Pamoja kwa Mapatano kati Binadamu na Mazingira ya Asili." 

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha