

Lugha Nyingine
Siku ya Mwaka Mpya yaadhimishwa kote China (6)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 02, 2025
![]() |
Picha iliyopigwa Januari 1, 2025 ikimuonyesha mkereketwa wa kuogelea wakati wa majira ya baridi akiogelea huko Harbin, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China. (Xinhua/Zhang Tao) |
Watu katika sehemu mbalimbali kote nchini China kama walivyofanya watu wa nchi mbalimbali duniani kote wamejiburudisha kwa shughuli mbalimbali, kusherehekea siku ya kwanza ya mwaka 2025 jana Jumatano, Januari 1 ambayo ilikuwa siku ya mapumziko.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma