

Lugha Nyingine
Barabara ya Yaxue yawapa watalii haiba ya mazingira ya asili na mvuto wa kitamaduni mkoani Heilongjiang, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 27, 2025
Ikiwa ni sehemu ya barabara kuu ya kitaifa ya G333, Barabara ya Yaxue inaunganisha Miji ya Harbin, Yabuli na "Kijiji cha theluji", ambavyo vyote ni vyenye vivutio mashuhuri vya utalii vya majira ya baridi katika Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini-mashariki mwa China, vikiwapa watalii haiba ya mazingira ya asili na mvuto wa kitamaduni wa eneo hilo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma