

Lugha Nyingine
Barabara ya Yaxue yawapa watalii haiba ya mazingira ya asili na mvuto wa kitamaduni mkoani Heilongjiang, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 27, 2025
Ikiwa ni sehemu ya barabara kuu ya kitaifa ya G333, Barabara ya Yaxue inaunganisha Miji ya Harbin, Yabuli na "Kijiji cha theluji", ambavyo vyote ni vyenye vivutio mashuhuri vya utalii vya majira ya baridi katika Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini-mashariki mwa China, vikiwapa watalii haiba ya mazingira ya asili na mvuto wa kitamaduni wa eneo hilo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Shughuli mbalimbali za kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa China zafanyika katika Nchi Nyingi
Muonekano wa Kisiwa cha Weizhou katika Mkoa wa Guangxi, Kusini mwa China
Hafla ya Kukaribisha Panda wa China yafanyika katika Bustani ya Wanyama ya Adelaide, Australia
Shughuli mbalimbali zafanyika sehemu mbalimbali China kukaribisha Mwaka Mpya ujao wa Jadi wa China
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma