Watu wafurahia shughuli mbalimbali kote China wakati wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 05, 2025
Watu wafurahia shughuli mbalimbali kote China wakati wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China
Watalii wakitembelea eneo la kitalii lililopambwa na taa na tepe za rangi mbalimbali katika Eneo la Haigang la Mji wa Qinhuangdao, Mkoa wa Hebei, Kaskazini mwa China, wakati wa mapumziko ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China, Januari 31, 2025. (Picha/CFP)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha