

Lugha Nyingine
Robert Francis Prevost achagualiwa kuwa Papa Leo XIV (3)
![]() |
Robert Francis Prevost (wa pili kulia) akipungia mkono umati baada ya kuchaguliwa kuwa papa mpya katika mji wa Vatican, Mei 8, 2025. (Xinhua/Li Jing) |
ROMA - Robert Francis Prevost, Kardinali wa Kanisa Katoliki la Marekani, amechaguliwa kuwa papa mpya wa Kanisa hilo katika siku ya pili ya kura za siri kwenye kongamano la Makadinali lililofanyika mjini Vatican ambapo jina alilochagua kuwa papa mpya ni Leo XIV.
Chuo cha Makardinali, chenye makadinali 133, kilianza mchakato wa upigaji kura kwa siri kumchagua papa mpya Mei 7. Papa wa awali, Francis, aliaga dunia kutokana na ugonjwa Aprili 21.
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma