

Lugha Nyingine
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 12, 2025
Ikinufaika na mvua zinazonyesha kwa wakati wa Mei, Tongliao, ghala la chakula katika mashariki mwa Mkoa wa Mongolia ya Ndani, kaskazini mwa China, imeingia katika kipindi cha kilele cha kupanda nafaka. Habari zinasema kuwa ukubwa wa eneo la kupanda mahindi la Tongliao mwaka 2025 unatarajiwa kufikia mu milioni 20 (hekta takriban milioni 1.33), ikiongeza mu 180,000 (hekta 12,000) kulinganishwa na mwaka uliopita.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma