

Lugha Nyingine
Ujenzi wa sehemu kuu ya Daraja la Taohe la urefu wa mita 562.16 waanza China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 12, 2025
![]() |
Picha ikionesha mfumo wa kupandisha vifaa na nyenzo za ujenzi kwa nyaya wenye uzito wa tani 500 katika Daraja la Taohe Mkoani Gansu, Kaskazini Magharibi mwa China, Mei 10, 2025. (Xinhua/Chen Bin) |
Kwa majaribio yenye mafanikio katika upandishaji wa mfumo wake wa kupandisha vifaa na nyenzo za ujenzi kwa nyaya wenye uzito wa tani 500, ujenzi wa sehemu kuu ya Daraja Taohe lenye urefu wa mita 562.16, mradi muhimu kwenye Barabara Kuu ya Lanzhou-Yongjing-Linxia nchini China, umeanza rasmi juzi Jumamosi, Mei 10, 2025.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma