

Lugha Nyingine
Maonyesho ya 12 ya Kimataifa ya Zana za Polisi ya China yafanyika Beijing
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 15, 2025
![]() |
Mtembeleaji akijaribu kifaa cha kulenga kinachotumia mwanga wa infrared kwenye Maonyesho ya 12 ya Kimataifa ya Zana za Polisi ya China hapa Beijing, mji mkuu wa China, Mei 14, 2025.(Xinhua/Cai Yang) |
Maonyesho hayo yamekuwa yakifanyika Beijing kuanzia Jumatano hadi Jumamosi, yakionyesha teknolojia za kisasa na vifaa vya hali ya juu kama vile teknolojia ya upashanaji habari ya kizazi kijacho, teknolojia ya AI na raslimali mpya.
Maonyesho hayo yanayoandaliwa na Wizara ya Usalama wa Umma yamevutia makampuni ya ndani na makampuni 30 kutoka nchi 11, ikiwa ni pamoja na Marekani na Canada.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma