

Lugha Nyingine
Treni yenye kauli mbiu ya Sanxingdui yaanza kufanya kazi mjini Chengdu
Treni hiyo ya abiria imeondoka Chengdu mji mkuu wa Mkoa wa Sichuan, kusini-magharibi mwa China jana Jumapili, ikionyesha treni ya kwanza yenye kaulimbiu ya Sanxingdui kuanza kufanya.
Treni hiyo huchukua dakika 18 kufika eneo hilo la Sanxingdui na saa takriban mbili kufika Bonde la Jiuzhai, vivutio viwili maarufu vya watalii katika mkoa huo wa Sichuan. Inafanya kazi kila siku ikiwa na safari 13 za kwenda na kurudi na inatarajiwa kubeba abiria takriban 30,000 kwa siku.
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma