

Lugha Nyingine
Treni ya mizigo ya China-Asia ya Kati yafunga safari kutoka Bandari ya Tianjin kuelekea Tashkent
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 21, 2025
![]() |
Treni ya mizigo ya China-Asia ya Kati inayoelekea Tashkent kupitia Horgos ikifunga safari kutoka stesheni katika Bandari ya Tianjinkaskazini mwa China, Mei 20, 2025. (Xinhua/Zhao Zishuo) |
Treni ya kwanza ya mizigo ya China-Asia ya Kati kutoka Bandari ya Tianjin hadi Tashkent kupitia Horgos kwa mwaka 2025 imefunga safari kutoka Tianjin kaskazini mwa China jana Jumanne, ikipelekea kontena 52 za vipuri vya magari, zana na vifaa vya mashine, nyenzo za ujenzi na vyombo vya umeme nyumbani kwa kuelekea mji mkuu wa Uzbekistan.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma