Mkutano wa Kimataifa wa Usalama barani Afrika (ISCA) wafanyika Kigali, Rwanda

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 21, 2025
Mkutano wa Kimataifa wa Usalama barani Afrika (ISCA) wafanyika Kigali, Rwanda
Washiriki wakionekana katika picha kwenye Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa Usalama juu ya Afrika (ISCA) mjini Kigali, Rwanda, Mei 19, 2025.

Mkutano wa Kimataifa wa Usalama barani Afrika (ISCA) umefanyika mjini Kigali, Rwanda, huku ukitoa wito kwa mpango wa hatua unaoongozwa na Afrika kwa kukabiliana na changamoto za usalama za bara hilo.

Ukiwa umefanyika chini ya kaulimbiu "Kurekebisha Mtazamo wa Afrika katika Mazingira Yanayobadilika na Magumu ya Dunia," mkutano huo uliofanyika kwa siku mbili za Jumatatu na Jumanne zilizopita uliohudhuriwa na wahusika wa mambo ya ulinzi, ujasusi na usalama ili kushughulikia masuala muhimu ya usalama na kujenga mustakabali wa ushirikiano. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha