

Lugha Nyingine
Mkutano wa Kimataifa wa Usalama barani Afrika (ISCA) wafanyika Kigali, Rwanda
![]() |
Washiriki wakionekana katika picha kwenye Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa Usalama juu ya Afrika (ISCA) mjini Kigali, Rwanda, Mei 19, 2025. |
Mkutano wa Kimataifa wa Usalama barani Afrika (ISCA) umefanyika mjini Kigali, Rwanda, huku ukitoa wito kwa mpango wa hatua unaoongozwa na Afrika kwa kukabiliana na changamoto za usalama za bara hilo.
Ukiwa umefanyika chini ya kaulimbiu "Kurekebisha Mtazamo wa Afrika katika Mazingira Yanayobadilika na Magumu ya Dunia," mkutano huo uliofanyika kwa siku mbili za Jumatatu na Jumanne zilizopita uliohudhuriwa na wahusika wa mambo ya ulinzi, ujasusi na usalama ili kushughulikia masuala muhimu ya usalama na kujenga mustakabali wa ushirikiano.
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma