

Lugha Nyingine
Ujenzi waahirishwa ili kulinda korongo weupe wa mashariki katika Mkoa wa Anhui, China
Mapema Mei mwaka huu, wafanyakazi waligundua kiota cha korongo mweupe wa mashariki, ndege anayeishi kwa kuhama-hama aliye chini ya ulinzi wa ngazi ya juu wa nchi ya China, kwenye mnara mpya wa kusambaza umeme katika Wilaya ya Huoqiu, Mkoa wa Anhui, mashariki mwa China.
Kampuni ya Gridi ya Kitaifa ya Anhui Electric Power imefunga kamera za kuonesha picha kwa ubora wa hali ya juu karibu na kiota hicho, kuwapa jukumu wafanyakazi kufuatilia na kulinda korongo hao weupe wa mashariki, na kuahirisha hatua za ujenzi kulingana na ratiba ya kutotoa na kukuza vifaranga kwa korongo hao.
Shughuli za kiutamaduni zafanyika kwenye Jukwaa la Russia na China mjini Khabarovsk, Russia
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma