

Lugha Nyingine
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Xiang'an waendelea kujengwa mjini Xiamen, Fujian, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 18, 2025
![]() |
Picha iliyopigwa tarehe 9 Juni 2025 ikionyesha eneo la ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Xiang'an mjini Xiamen, Mkoani Fujian, kusini mashariki mwa China. (Xinhua/Wei Peiquan) |
Ujenzi unaondelea wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Xiang'an mjini Xiamen, Mkoani Fujian, kusini mashariki mwa China unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu na utaanza kutumika rasmi mwishoni mwa mwaka 2026. Wakati huo, uwanja huo wa ndege utakuwa na uwezo wa kupitisha abiria milioni 45 kwa mwaka, mizigo na vifurushi vya uzito wa tani 750,000, na ndege 380,000.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)
Shughuli za utalii za siku za lavender zahimiza maendeleo ya uchumi katika Mkoa wa Xinjiang, China
Wajenzi waendelea kujenga daraja refu zaidi duniani katika Mkoa wa Guizhou wa China
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yawadia katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China
Migodi iliyotelekezwa yageuzwa kuwa vivutio vya kitalii katika Mkoa wa Shandong, China
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma