Uokoaji waendelea katika wilaya zilizoathiriwa na mafuriko za Mkoa wa Guizhou, China (7)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 26, 2025
Uokoaji waendelea katika wilaya zilizoathiriwa na mafuriko za Mkoa wa Guizhou, China
Mtu akiendesha tingatinga kusafisha mtaa katika Wilaya ya Congjiang, Mkoa wa Guizhou, kusini-magharibi mwa China, Juni 25, 2025. (Picha na Wu Xingke/Xinhua)

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha na mitiririko ya maji ya mito kutoka maeneo ya miinuko imesababisha mafuriko makubwa katika wilaya mbili za Mkoa wa Guizhou, kusini-magharibi mwa China, ikisababisha kuhamishwa kwa makazi watu wengi.

Hadi kufikia saa 8:30 mchana juzi Jumanne, wakaazi 48,900 walikuwa wameshahamishwa kwa muda katika Wilaya ya Rongjiang na 32,000 katika Wilaya ya Congjiang huku mwitikio wa dharura wa kudhibiti mafuriko ukiwa umepandishwa hadi Kiwango cha I, cha juu zaidi, katika wilaya zote hizo mbili. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha