

Lugha Nyingine
Zoezi la uokoaji wa dharura baharini lafanyika katika Mji wa Sansha, Hainan, China (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 27, 2025
Zoezi la uokoaji wa dharura baharini limefanyika katika Mji wa Sansha kwenye maji karibu na Kisiwa cha Yongxing cha Visiwa vya Xisha, Mkoa wa Hainan, kusini mwa China. Zoezi hilo limeshirikisha meli 15, helikopta 2 za uokoaji na waokoaji zaidi ya 200.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
Kuendeleza urithi wa utamaduni usioshikika wa China - ustadi wa kutengeneza chai ya Taiping Houkui
Njia mpya za uendeshaji wa droni zaanza kutumika katika Mji wa Wuhan katikati mwa China
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma