

Lugha Nyingine
Mradi wa kusafirisha umeme wa moja kwa moja wa nguvu kubwa ya ±800 kV waanza kazi Ningxia-Hunan, China (2)
Baada ya majaribio ya saa 168, mradi wa kusafirisha umeme wa nguvu kubwa ya ±800 kV kwa mkondo wa moja kwa moja wa Ningxia-Hunan, umeanza kazi yake rasmi kwa uwezo wa nguvu za kilowati milioni 4 jana Jumapili, ambao unaweza kupeleka umeme kutoka Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wahui wa Ningxia, kaskazini magharibi mwa China hadi Mkoa wa Hunan, katikati mwa China.
Mradi huo wa kupeleka umeme una urefu wa kilomita 1,616 na umepangwa kukamilika kikamilifu na kuanza kutumika kwa uwezo wake uliosanifiwa wa usambazaji umeme wenye nguvu ya kilowati milioni 8 mwezi Septemba mwaka huu.
Kituo cha mafunzo cha Bajiquan mkoani Hebei, China chakaribisha wanafunzi kutoka Russia
Picha: Mandhari ya mbuga katika majira ya joto mkoani Gansu, China
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma