

Lugha Nyingine
Juhudi za utafutaji na uokoaji zaendelea baada ya mvua kubwa kunyesha katikati mwa China (5)
Mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya Taiping na Erlangping ya Mkoa wa Henan, katikati mwa China imesababisha kiwango cha maji ya mto kupanda juu kwa ghafla kwenye sehemu za mitiririko ya maji ya mto katika wilaya ya Xixia juzi Jumatatu, ambapo mafuriko yaliharibu miundombinu na kuacha baadhi ya wakaazi wakiwa wamekwama.
Kufuatia mafuriko hayo, juhudi za uokoaji zilitekelezwa mara moja, huku watu wawili wakiokolewa. Juhudi zaidi za utafutaji na uokoaji zinaendelea katika pilika ya kutafuta watu watatu ambao bado hawajajulikana walipo.
Kituo cha mafunzo cha Bajiquan mkoani Hebei, China chakaribisha wanafunzi kutoka Russia
Picha: Mandhari ya mbuga katika majira ya joto mkoani Gansu, China
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma