

Lugha Nyingine
Waziri Mkuu wa China kuhudhuria mkutano wa 17 wa kilele wa nchi za BRICS nchini Brazil, na kufanya ziara Misri
(CRI Online) Julai 04, 2025
Msemaji wa Wizara ya mambo ya nje ya China Mao Ning ametangaza jana Alhamisi kuwa waziri mkuu wa China Li Qiang atahudhuria Mkutano wa 17 wa kilele wa nchi za BRICS mjini Rio de Janeiro, Brazil kuanzia Julai 5 hadi 8.
Msemaji huyo pia amesema, kwa mwaliko wa waziri mkuu wa Misri Mostafa Kamal Madbouly, Li pia atafanya ziara rasmi nchini Misri kuanzia Julai 9 hadi 10.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma