

Lugha Nyingine
Mandhari ya Ziwa Nam Co, Xizang, China (7)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 19, 2025
![]() |
Watalii wakipiga picha za harusi kando ya Nam Co, ambalo ni ziwa la chumvi lililoko kwenye mwinuko wa juu zaidi duniani, katika Mkoa unaojiendesha wa Xizang, China Septemba 16, 2025. (Xinhua/Jiang Fan) |
Ziwa Nam Co liko kwenye Uwanda wa Juu wa Qinghai-Xizang, likiwa na uso wa ziwa uliopo kwenye mwinuko wa mita 4,718 kutoka usawa wa bahari, ni ziwa la pili kwa ukubwa wake katika eneo hilo.
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma