Bustani za chai katika Wilaya ya Wuyi, China zaingia kwenye msimu wa mavuno (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 11, 2026
Bustani za chai katika Wilaya ya Wuyi, China zaingia kwenye msimu wa mavuno
Wakulima wakichuma majani ya chai ya majira ya mchipuko kwenye bustani ya chai katika Wilaya ya Wuyi, Mji wa Jinhua, Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China, Machi 10, 2026. (Xinhua/Xu Yu)

Hivi karibuni, hekta zote 8546.7 za bustani za chai katika Wilaya ya Wuyi, Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa China zimeingia kwenye msimu wa mavuno.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha