Lugha Nyingine
Chai nyeupe yaingia msimu wa mavuno katika Wilaya ya Anji, Zhejiang, China
![]() |
| Picha hii iliyopigwa Aprili 8, 2026 ikionyesha wafanyakazi wakichuma majani ya chai kwenye shamba la chai katika Wilaya ya Anji, Mkoa wa Zhejiang, mashariki mwa China. (Xinhua/Huang Zongzhi) |
Hivi sasa chai nyeupe katika Wilaya ya Anji, Mkoa wa Zhejiang, mashariki mwa China imeingia msimu wake wa mavuno. Mwaka 2025, uzalishaji wa chai nyeupe katika wilaya hiyo ya Anji ulifikia tani 2,630, huku thamani ya mapato ya mwaka ya mnyororo wa shughuli za chai ikizidi yuan bilioni 7 (dola za Marekani karibu bilioni 1.02). Wilaya hiyo pia iliwapokea watalii wanaotembelea shamba la chai kwa zaidi ya mara milioni 5 mwaka jana.

Ndege wa Kwarara waingia msimu wa kuzaliana huko Shaanxi, China

Eneo la kaboni-sifuri katika Mkoa wa Hainan laonyesha vitendo vya kijani vya China

Vifaa vya kisasa vya usafi vyatoa huduma kwenye Mkutano wa Mwaka wa Jukwaa la Boao la Asia 2026

Eneo Jipya la Xiong'an la China labadilika kuwa mji wenye nguvu hai kutoka mpango
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
