Lugha Nyingine
Matengenezo yaendelea katika vituo vya kuzalisha umeme kwa nishati ya upepo baharini vya Mkoa wa Jiangsu, China (6)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 11, 2026
![]() |
| Picha iliyopigwa Juni 10, 2026 ikionyesha hali ya matengenezo ya kawaida ya kituo cha kuzalisha umeme kwa nishati ya upepo baharini, huko Rudong, katika Mkoa wa Jiangsu, mashariki mwa China. (Xinhua/Ji Chunpeng) |
Hivi karibuni, wafanyakazi wa wilaya ya Rudong mkoani Jiangsu wamekuwa wakifanya matengenezo ya mashine za turbine za vituo viwili vya kuzalisha umeme kwa nishati ya upepo baharini na vituo vya kuongeza nguvu ya umeme, ili kuhakikisha usambazaji tulivu na salama zaidi wa umeme wakati wa kipindi kijacho cha joto kali.
Kuanzia Januari hadi Mei mwaka huu, uwezo wa jumla wa uzalishaji umeme wa vituo viwili vya kuzalisha umeme kwa nishati ya upepo baharini ulifikia kWh milioni 880, na uzalishaji wa jumla wa nishati umefikia kWh bilioni 10.26 tangu yaanze kufanya kazi rasmi Desemba 2021.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




