Lugha Nyingine
Mkoa wa Hainan, China waongeza juhudi za kujenga mahali pa utalii na manunuzi pa kiwango cha juu cha maendeleo duniani (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 14, 2026
![]() |
| Mabalozi wa nchi mbalimbali wakitembelea Eneo la Majaribio ya Utalii wa Kimataifa wa Matibabu la Boao Lecheng mkoani Hainan, kusini mwa China, Julai 24, 2026. (Xinhua/Yang Guanyu) |
Mkoa wa Hainan, kusini mwa China unaongeza juhudi za kujenga mahali pa utalii na manunuzi pa kiwango cha juu duniani kama sehemu muhimu ya Bandari ya Biashara Huria ya Hainan. Na pia unatafuta njia mpya ya kuelekea maendeleo yenye sifa bora ya uchumi wake wa walaji unaoongozwa na sekta ya utalii, ambao una sifa za kipekee za kisiwa hicho.
Hainan unakadiriwa kupokea watalii wa ndani na wa kimataifa wapatao milioni 154 kila mwaka ifikapo mwaka 2030, ambapo mapato yanayotokana na utalii yatafikia yuan bilioni 363 (dola karibu bilioni 53.83 za Marekani).
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




