Msimu wa uvuvi wa Bahari ya Kusini ya China waanza rasmi (8)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 17, 2026
Msimu wa uvuvi wa Bahari ya Kusini ya China waanza rasmi
Watu wakifanya onyesho la ngoma ya dragoni kusherehekea msimu mpya wa uvuvi karibu na bandari ya Tanmen huko Qionghai, mkoani Hainan, kusini mwa China, Agosti 16, 2026. (Xinhua/Pu Xiaoxu)

Msimu wa uvuvi wa Bahari ya Kusini ya China umeanza rasmi mchana wa jana Jumapili baada ya kumalizika kwa marufuku ya uvuvi ya muda wa miezi-mitatu-na-nusu wakati wa majira ya joto ya mwaka huu.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha