BEIJING – Bunge la Umma la 14 la China limepitisha nyaraka kadhaa muhimu kwenye mkutano wa wajumbe wote uliofanyika leo Jumatatu. Uamuzi huo wa kuwasilisha nyaraka hizo kwenye Bunge la Umma la 14 la China ulitolewa kwenye mkutano wa tisa wa Tume Tendaji ya Wenyeviti ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Umma la 14 la China uliofanyika Jumapili alasiri, ukiongozwa na Zhao Leji, mjumbe wa kudumu wa tume hiyo.
Kikao cha tano cha Mkutano wa Kwanza wa wajumbe wote wa Bunge la Umma la 14 la China (NPC) ukifanyika kwenye Jumba la Mikutano la Umma hapa Beijing, Mji Mkuu wa China, Machi 12, 2023. (Xinhua/Li Xin) BEIJING - Bunge la Umma la 14 la China Jumapili liliamua safu mpya ya Baraza la Serikali la China, katika mkutano wake wa mwaka ambao umefungwa leo.
Mkutano wa Waziri Mkuu na waandishi wa habari unafanyika leo asubuhi kwenye Jumba la Mikutano ya Umma hapa Beijing, China.
Ufungaji wa mkutano wa kwanza wa Baraza la 14 la Mashauriano ya Kisiasa la China umefanyika saa 9 mchana tarehe 11, Machi kwenye Jumba la Mikutano ya Umma hapa Beijing, China.