人民网首页

Habari

China kuwa na vituo vya msingi vya Teknolojia ya 5G milioni 2.9 kufikia mwisho wa Mwaka 2023

Waziri wa Viwanda na TEHAMA wa China Jin Zhuanglong akipokea mahojiano ya waandishi wa habari baada ya ufunguzi wa mkutano wa kwanza wa Bunge la Umma la 14 la China (NPC) mjini Beijing, China, Machi 5, 2023. (Xinhua/Cai Yang) BEIJING - Waziri wa Viwanda na TEHAMA wa China Jin Zhuanglong amesema Jumapili kwamba China itakuwa imejenga zaidi ya vituo milioni 2.

Shughuli ya Kwanza ya Mahojiano Kati ya Waandishi wa Habari na Wajumbe wa Bunge la Umma la 14 la China yafanyika

Tarehe 5, Machi, Mkutano wa kwanza wa Bunge la Umma la 14 la China umefanya shughuli ya kwanza ya mahojiano kati ya waandishi wa habari na wajumbe hapa Beijing. (Picha na Xinhua).

Mkutano wa Bunge la Umma la China wafunguliwa Beijing

(Picha inatoka CRI.) Mkutano wa kwanza wa awamu ya 14 ya Bunge la Umma la China umefunguliwa leo Jumapili hapa Beijing, na kuhudhuriwa na viongozi wa China akiwemo rais Xi Jinping.

Video ya moja kwa moja: Ufunguzi wa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Umma la 14 la China (NPC)

Ufunguzi wa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Umma la 14 la China (NPC) unafanyika leo tarehe 5, Machi kwenye Jumba la Mikutano ya Umma hapa Beijing, China.

Iliyopita4 5 6 7 8 9 Inayofuata