人民网首页

Habari

Kamati ya Kudumu ya Bunge la China yapanga mkutano wake kufanyika mwishoni mwa Februari

Zhao Leji, mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Umma la China, akiongoza mkutano wa 38 wa Baraza la Wenyeviti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la 14 la Umma la China kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, China, Februari 17, 2025. (Xinhua/Yao Dawei) BEIJING - Kamati ya Kudumu ya Bunge la 14 la Umma la China itafanya mkutano wake wa 14 mjini Beijing Februari 24 na 25.

Iliyopita4 5 6 7 8