Zhao Leji, mwenyekiti mtendaji wa tume ya utendaji wa mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC), akiongoza kikao cha pili cha tume hiyo ya utendaji wa mkutano katika Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, China, Machi 10, 2026. (Xinhua/Gao Jie) BEIJING – Tume ya Utendaji wa mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC), imefanya kikao chake cha pili jana Jumanne, kikiongozwa na Zhao Leji, mwenyekiti mtendaji wa tume hiyo.
Kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC) kikifanyika kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, China, Machi 9, 2026. (Xinhua/Li Tao) BEIJING – Mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC), chombo cha juu cha utungaji sheria cha China, umefanya kikao chake cha pili cha wajumbe wote jana Jumatatu.
Jana Tarehe 8 Machi ilikuwa Siku ya Wanawake Duniani. Kwenye mikutano mikuu miwili ya mwaka ya Bunge la Umma la China na Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China inayoendelea Beijing, wajumbe wanawake wanafanya kazi muhimu katika kuchangia hekima kwa maendeleo ya nchi.
Kikao cha tatu cha wajumbe wote wa mkutano wa nne wa Kamati ya 14 ya Kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC) kikifanyika katika Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, China, Machi 8, 2026. (Xinhua/Cao Yiming) BEIJING - Kamati ya 14 ya Kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), chombo kikuu cha ushauri wa kisiasa cha China, imefanya kikao cha tatu cha wajumbe wote wa mkutano wa nne wa mwaka unaoendelea mjini Beijing jana Jumapili.