Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 yafanyika (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 21, 2022
Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 yafanyika
Viongozi wa Chama na Serikali Xi Jinping, Li Keqiang, Li Zhanshu, Wang Yang, Wang Huning, Zhao Leji, Han Zheng, na Wang Qishan wakishiriki kwenye sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022.(Xinhua/Mpiga picha: Yue Yuewei)

Jioni ya Februari 20, Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing ilifanyika kwenye Uwanja wa Michezo wa Taifa hapa Beijing.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha