Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 yafanyika

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 21, 2022
Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 yafanyika
Rais Xi Jinping wa China na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki Bw. Thomas Bach wakipunga mikono kuwasalimia watazamaji. (Xinhua/Mpiga picha: Li Xueren)

Jioni ya Februari 20, Sherehe ya kufungwa kwa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing ilifanyika kwenye Uwanja wa Michezo wa Taifa hapa Beijing.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha