Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Guizhou nchini China zahimiza kupanda pilipili ya Sichuan ili kukuza uchumi (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 17, 2022
Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Guizhou nchini China zahimiza kupanda pilipili ya Sichuan ili kukuza uchumi
Mfanyakazi akisindika pilipili ya Sichuan kwenye moja ya kampuni ya uzalishaji huko Zhennan, Wilaya ya Wuchan, Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China, Juni 15, 2022. (Picha na Zhao Yongzhang/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha