Kuwait yarejesha Misri mabaki ya kale ya sanaa tano za Kifarao yaliyoingizwa kwa magendo (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 17, 2022
Kuwait yarejesha Misri mabaki ya kale ya sanaa tano za Kifarao yaliyoingizwa kwa magendo
Sultan Al-Duwaish, Mkuu wa Idara ya Mabaki ya Kale na Makumbusho katika Baraza la Taifa la Sanaa, Utamaduni na Fasihi la Kuwait (NCCAL), akitia saini nyaraka kabla ya kurudisha kwa Misri mabaki ya kale ya sanaa za Kifarao yaliyoingizwa kwa magendo huko Kuwait City, Kuwait, Juni 16, 2022. (Picha na Asad/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha