Meli iliyozama wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia yaonekana kutokana na kupungua kwa maji ya Mto Danube nchini Hungary

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 18, 2022
Meli iliyozama wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia yaonekana kutokana na kupungua kwa maji ya Mto Danube nchini Hungary

Agosti 17 kwa saa za huko, kutokana na hali joto ya juu ya hewa na ukame, majiya Mto Danube nchini Hungary yamepungua sana, hata meli iliyozama mtoni wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Duniani inaonekana. (Picha kutoka ICphoto)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha