Tembelea kwenye kituo cha kwanza cha majaribio ya kutumia magari yanayojiendesha nchini China (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 03, 2022
Tembelea kwenye kituo cha kwanza cha majaribio ya kutumia magari yanayojiendesha nchini China
Tarehe 25, Aprili, mwanamume mmoja akifanya majaribio ya kupanda gari la kujiendesha lisio na dereva, kuna mhudumu wa usalama anayekaa karibu na kiti cha dereva katika Eneo la Maendeleo ya Uchumi na Teklojia la Beijing.

Eneo la Maendeleo ya Uchumi na Teknolojia la Beijing ni kituo cha kwanza cha majaribio ya kutumia magari yanayojiendesha nchini China. Katika eneo hilo, teksi zinazojiendesha zimeingia kwenye maisha ya kawaida ya watu. (Mpiga picha: Peng Ziyang/Xinhua)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha