Tembelea kwenye kituo cha kwanza cha majaribio ya kutumia magari yanayojiendesha nchini China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 03, 2022
Tembelea kwenye kituo cha kwanza cha majaribio ya kutumia magari yanayojiendesha nchini China
Novemba 1, gari linalojiendesha lisilo na dereva, ambalo ndani yake kuna mhudumu wa usalama anayekaa karibu kiti cha dereva, likijiendesha katika Eneo la Maendeleo ya Uchumi na Teknolojia la Beijing.

Eneo la Maendeleo ya Uchumi na Teknolojia la Beijing ni kituo cha kwanza cha majaribio ya kutumia magari yanayojiendesha nchini China. Katika eneo hilo, teksi zinazojiendesha zimeingia kwenye maisha ya kawaida ya watu. (Mpiga picha: Peng Ziyang/Xinhua)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha