Picha: Wakulima watumia mashine za kilimo zenye teknolojia ya hali ya juu wakati wa kilimo cha majira ya mchipuko katika Mkoa wa Heilongjiang, China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 08, 2023
Picha: Wakulima watumia mashine za kilimo zenye teknolojia ya hali ya juu wakati wa kilimo cha majira ya mchipuko katika Mkoa wa Heilongjiang, China
Mfanyakazi wa Shirika la Beidahuang tawi la Baoquanling akionesha namna ya kutumia “mashine ya kutambua sifa na kufuatilia ukuaji” kwenye mashamba ya kutunza miche ya mpunga. Picha/Xu Lei

Hivi sasa ni wakati muhimu wa kilimo katika majira ya mchipuko nchini China, na wakulima wa sehemu mbalimbali za Mkoa wa Heilongjiang wa China wana pilikapilika za kulima mashamba.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha