Picha: Wakulima watumia mashine za kilimo zenye teknolojia ya hali ya juu wakati wa kilimo cha majira ya mchipuko katika Mkoa wa Heilongjiang, China (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 08, 2023
Picha: Wakulima watumia mashine za kilimo zenye teknolojia ya hali ya juu wakati wa kilimo cha majira ya mchipuko katika Mkoa wa Heilongjiang, China
Mashine yenye nguvu kubwa ikifanya kazi ya kutia mbolea kwenye Shamba la Jaribio No.1 la Kituo cha Utafiti wa Kutunza mbegu cha Bustani ya Kilimo cha Kisasa ya Kitaifa iliyoko Mji wa Wudalianchi, Mkoa wa Heilongjiang wa China, na mashine hiyo inaweza kusawazisha ardhi mara moja baada ya kutia mbolea. Picha imetolewa na kituo cha vyombo vya habari cha Mji wa Wudalianchi.

Hivi sasa ni wakati muhimu wa kilimo katika majira ya mchipuko nchini China, na wakulima wa sehemu mbalimbali za Mkoa wa Heilongjiang wa China wana pilikapilika za kulima mashamba.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha